Matthew 24:45

Mfano Wa Mtumishi Mwaminifu

(Luka 12:41-48)

45 a “Ni nani basi aliye mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake amemweka kusimamia watumishi wengine katika nyumba yake, ili awape chakula chao kwa wakati unaofaa?
Copyright information for SwhNEN